Kiongozi wa Upinzani (NASA) kutoka nchini Kenya, Raila Odinga ameweka wazi walichoongea na Uhuru Kenyatta mapema mwezi huu
Moja ya makubaliano hayo ni kuwa wahanga wote wa ghasia za uchaguzi mkuu uliofanyika mwaka 2017 watalipwa fidia na Serikali
Aidha, Odinga amesema jambo jingine walilokubaliana na Rais Uhuru ni kufuta kesi za watu walioshiriki sherehe za kuapishwa kwake
0 comments:
Post a Comment