Friday 9 March 2018

Rais Magufuli awaonya wanaotaka kuandamana



Rais Magufuli ametoa onyo kali kwa Mtanzania yeyote atakayejaribu kuandamana. Amesema kitakachowakuta watahadithia
Amesema kuwa wapo wameshindwa kufanya siasa za kweli wamebakia kuandamana
-
Asisitiza kama wapo Baba zao wanatuma kuandamana wataenda kuwasimulia

0 comments:

Post a Comment