Shirikisho
la soka duniani (FIFA) limeonesha kuzidi kuwaamini marefa wa Afrika
baada ya refa Aden Marwa Range kutokea ligi kuu Kenya kuchaguliwa kwenda
kuchezesha kombe la dunia nchini Urusi kama muamuzi msaidizi.
Maamuzi hayo ya FIFA yanazidi kuleta matumaini katika soka la Afrika
upande wa waamuzi, Michuano ya kombe la dunia 2018 itachezwa kwa mwezi
mmoja nchini Urusi kuanzia June 14 – July 15 2018.
0 comments:
Post a Comment