Wekundu wa Msimbazi Simba SC leo majira ya saa 12:00 jioni saa za Afrika Mashariki, itakutana na
Al Masry ya Misri katika mchezo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya kombe
la Shirikisho barani Afrika.
Mchezo huo utapigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Timu hizo
zitarudiana baada ya siku 10 mjini Cairo Misri, mshindi ataingia kwenye
mchujo wa kuwania kuingia hatua ya makundi.
Kocha wa Simba Pierre jana katika ukumbi wa TFF amesema kuwa anatumaini timu yake itashinda.
Kocha wa Simba Pierre jana katika ukumbi wa TFF amesema kuwa anatumaini timu yake itashinda.
0 comments:
Post a Comment