Mchezaji wa kimataifa wa
Tanzania, Simon Msuva jana ameifungia mabao mawili timu yake, Difaa
Hassan El Jadida yaliyoifanya ipate sare ya 3-3 ikiwa ugenini katika
mchezo wa Ligi Kuu ya Morocco dhidi ya wenyeji, Olympique de Khouribga
Uwanja wa Phosphate mjini Khouribga.
Matokeo hayo yanaiongezea pointi moja Jadida na ikifikisha pointi zake 38 baada ya kucheza mechi 25.
Msuva amefunga mabao yake dakika za 65 na dakika ya pili ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida, hilo likiwa bao lililoinusuru Jadidi kupoteza mechi leo na kuibuka shujaa wa timu yake, wakati bao lingine la timu hiyo limefungwa na Tarik Astati dakika ya 33.
Matokeo hayo yanaiongezea pointi moja Jadida na ikifikisha pointi zake 38 baada ya kucheza mechi 25.
Msuva amefunga mabao yake dakika za 65 na dakika ya pili ya muda wa nyongeza baada ya kutimia dakika 90 za kawaida, hilo likiwa bao lililoinusuru Jadidi kupoteza mechi leo na kuibuka shujaa wa timu yake, wakati bao lingine la timu hiyo limefungwa na Tarik Astati dakika ya 33.
0 comments:
Post a Comment