Mexico imepigwa faini baada ya mashabiki wake kuonyesha kitendo cha ubaguzi kwa kipa Neuer wa Ujerumani zilipokutana Juni 17, timu ya Mexico ilishinda mechi hiyo ya kundi F kwa bao 1-0.
Serbia imeadhibiwa kwa kuweka bango lenye ujumbe wa kisiasa ilipokuwa ikimenyana na Costa Rica Juni 17, Serbia ilishinda mchuano huo wa Kundi E kwa bao 1-0.
0 comments:
Post a Comment