Kupitia mtandao wa kijamii wa msanii Ja rule aliweza kuachua ujumbe kuhusu album ya pamoja ya JAY-Z na Beyonce “Everything is Love” na kuelezea mpango wa kufanya album ya pamoja na Ashanti. (Swipe Left kuona)
Kwenye mahijiano na “Entertainment Tonight” kwenye red carpet ya tuzo za BET #Ashanti amethibitisha ujio wa album hiyo ya pamoja, alifunguka “Listen, me and Rule, it’s so funny because we’ve been talking about that for so long, but I think now he’s like, ‘OK, now it’s time to do it’. So we’re going to carve out the time and make it happen.”
Ashanti na #JaRule wamewahi kushirikiana kwenye ngoma kibao ikiwemo ‘Always On Time‘, ‘Mesmerize‘ na ‘Wonderful‘.
0 comments:
Post a Comment