Chris Brown awachana BET AWARDS, ni baada ya kuondoka mikono mitupu kwenye Tuzo za mwaka huu.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Breezy ameandika.
"SIHITAJI TUZO ILI NIWE MFAMLE" - aliandika Breezy ambaye kwenye tuzo za mwaka huu alitajwa kwenye vipengele viwili: Best Male R&B/Pop Artist na Video Director of The Year.
ChrisBrown amepitisha miaka mitatu mfululizo (2016, 2017, 2018) akitoka patupu kwenye Tuzo hizo kubwa duniani kwa upande wa watu weusi.
0 comments:
Post a Comment