Wednesday 13 June 2018

Rais Kim Jong Un alivyosafiri na choo chake



Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un adaiwa kwenda nchini Singapore huku akiwa na choo cha kuhamishika katika gari lake na hotelini alipofikia.

Kwa mujibu wa mtandao wa Washington Post Kim Jong Un aliyefika na gari aina ya Mercedes Benz S600 likiwa na choo cha kuhamishika.

Watafiti mbalimbali wamedai kuwa uamuzi wa Rais Kim kutembea na choo chake ni kuepuka na choo chake kuchukuliwa na kuchunguzwa na maadui wake.

0 comments:

Post a Comment