Timu ya Sweden imefanikiwa kusonga mbele
kucheza robo fainali ya michuano hiyo baada ya kuifunga Switzerland goli
1-0
Goli la Sweden limefungwa na Emil Forsberg katika dakika ya 66 ya mchezo
Sweden itacheza na mshindi wa mechi kati ya Colombia na Uingereza katika hatua ya robo fainali
0 comments:
Post a Comment