Ufaransa ndio mabigwa wapya wa kombe hilo kwa mwaka huu. Imeshinda kombe hilo kwa mara ya pili tangu washinde mwaka 1998
Katika michuano hii wachezaji mbalimbali wameshinda tuzo tofauti;
Mchezaji bora - Luka Modric(Croatia)
Mfungaji bora - Harry Kane(England)
Kipa bora - Thibaut Courtois(Ubelgiji)
Mchezaji bora mdogo - Kylian Mbappé(Ufaransa)
0 comments:
Post a Comment