Tuesday 14 August 2018

Bobi Wine anusurika kifo


Msanii maarufu kutoka nchini Uganda Bobi wine amenusurika kifo baada ya gari lake kushambuliwa na watu wanaozaniwa kuwa polisi. hatahivyo Bobiwine amethibitisha kifo cha Dereva wa  amefariki dunia kwa kupigwa risasi.

0 comments:

Post a Comment