Kutana na NBA Fashionista Russell Westbrook @russwest44 mshindi wa tuzo ya NBA 2018 katika kipengele cha kutokelezea (Best Stylist).
Kwasasa
mchezaji huyu wa Kikapu anayechezea Oklahoma City Thunders (OKC)
ameanzisha ziara yake iitwayo "WhyNotTour"katika kulizunguka bara la
Asia akianzia nchini China kwa lengo la kuwafundisha vijana mbalimbali
kikapu na kutambulisha mavazi yake pamoja na viatu vyake kwa udhamini wa
kampuni ya Jordan.
Katika msimu wa Kikapu NBA 2016-2017
alikuwa akitambulika zaidi kama Mr Triple Double ni kutokana na umahiri
wake wa kutupia vikapu.
Hapa nchini Tanzania kuna wachezaji wa Kikapu wanaochezea nchi za nje kama @alphak_ na @hasheemthedream
huku alpha ambaye ana kampeni yake ya Shoes For Tanzania na Hasheem
ambaye huwa kwa kipindi kirefu akiwa nchini hutoa mafunzo kwa vijana
mbalimbali has a katika Kikapu.
0 comments:
Post a Comment