Taarifa za hivi punde kutoka Uganda ni kwamba serikali imemuondolea mashtaka mbunge wa Kyadondo Robert Kyagulanyi.
Mbunge
huyo ambaye aliwahi kuwa mwanamuziki nchini kwa jina maarufu Bobi Wine
leo alitarajiwa kurudishwa katika mahakama ya kijeshi mjini Gulu
kaskazini mwa Uganda.Mawakili wake awali walijuzwa kuwa kesi itasikilizwa katika kambi ya kijeshi ya Makindye anakozuiliwa mjini Kampala.
0 comments:
Post a Comment