Shirika la World Economic Forum limetoa orodha ya nchi 137 katika viwango vya ubora wa huduma za Vikosi vya Majeshi ya Polisi duniani
-
Orodha hii imezingatia kiwango cha kuaminika na kutegemewa
-
Nchi ya Finland imeshika nafasi ya kwanza ulimwenguni huku Rwanda ikishika nafasi ya 13 na ya namba 1 kwa Afrika
-
Nchi nyingine za Afrika zilizofanya vyema ni Misri, Ethiopia, Afrika Kusini pamoja na Nigeria
-
Ni nchi 5 tu za Afrika ndio zimeweza kuingia katika orodha hiyo
0 comments:
Post a Comment