Msanii Mkongwe wa vichekesho, Amri Athuman maarufu King Majuto amefariki dunia usiku wa leo Agosti 8, 2018 katika Hospitali ya Taifa, Muhimbili alipokuwa anapatiwa matibabu
-
Jumanne ya Julai 31, Mzee Majuto alipelekwa hospitalini hapo na kulazwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalum(ICU)
-
Hiyo ilikuwa mara ya pili kwa Mzee Majuto kulazwa hospitalini hapo, mara ya kwanza alilazwa kabla ya kwenda India kwa ajili ya matibabu
-
Muigizaji huyo alizaliwa mwaka 1948 jijini Tanga na kusoma shule Msambwini mkoani humo, alianza kuigiza 1958 akiwa na umri wa miaka 10
0 comments:
Post a Comment