Friday 14 September 2018

ASKOFU ANAYETUHUMIWA KUMBAKA MTAWA AKAMATWA


Jeshi la Polisi linamshikilia Askofu Franco Mulakkal wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Kaskazini mwa Jimbo la Punjab nchini India anayetuhumiwa kwa ubakaji.
-
Anatuhumiwa kufanya matukio hayo katika kipindi cha mwaka 2014 hadi 2016
-
Watawa walifanya mgomo kwa siku kadhaa wakishinikiza kukamatwa kwake. Mgomo huo ulijumuisha makundi ya Wanaharakati na Watetezi wa haki za Wanawake

0 comments:

Post a Comment