Friday, 14 September 2018

ASKOFU ANAYETUHUMIWA KUMBAKA MTAWA AKAMATWA


Jeshi la Polisi linamshikilia Askofu Franco Mulakkal wa Kanisa Katoliki Dayosisi ya Kaskazini mwa Jimbo la Punjab nchini India anayetuhumiwa kwa ubakaji.
-
Anatuhumiwa kufanya matukio hayo katika kipindi cha mwaka 2014 hadi 2016
-
Watawa walifanya mgomo kwa siku kadhaa wakishinikiza kukamatwa kwake. Mgomo huo ulijumuisha makundi ya Wanaharakati na Watetezi wa haki za Wanawake

0 comments:

Post a Comment