Friday 14 September 2018

UGANDA NA KENYA 'ZATUNISHIANA MISULI' KUPANDISHA BENDERA KISIWA CHA MIGINGO


Maafisa Usalama wa Uganda wazuia jaribio la mamlaka za Kenya la kutaka kupandisha bendera ya nchi yao katika Kisiwa hicho kinachobishaniwa
-
Waganda wameshusha bendera hiyo iliyopandishwa na Wakenya na kutoa onyo la kuwataka wasirudie kitendo hicho walichokiita ni chokochoko
-
Serikali ya Kenya na Uganda zimekuwa kwenye mgogoro kuhusu umiliki wa kisiwa hicho kilichopo ndani ya Ziwa Victoria tangu mwaka 2004

0 comments:

Post a Comment