Maafisa Usalama wa Uganda wazuia jaribio la mamlaka za Kenya la kutaka kupandisha bendera ya nchi yao katika Kisiwa hicho kinachobishaniwa
-
Waganda wameshusha bendera hiyo iliyopandishwa na Wakenya na kutoa onyo la kuwataka wasirudie kitendo hicho walichokiita ni chokochoko
-
Serikali ya Kenya na Uganda zimekuwa kwenye mgogoro kuhusu umiliki wa kisiwa hicho kilichopo ndani ya Ziwa Victoria tangu mwaka 2004
0 comments:
Post a Comment