Wednesday 19 September 2018

BARCELONA YANG'ARA, TOTTENHAM YALA KICHAPO


-
Michezo miwili ya mapema ya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya imemalizika ambapo Barcelona na Inter Milan zimeibuka na ushindi
-
Katika mchezo wa Barcelona na PSV Eindhoven, Mchezaji Lionel Messi ameibuka nyota wa mchezo kwa kufunga magoli matatu(hat-trick) huku goli moja likifungwa na Ousmane Dembele
-
Katika Mchezo wa Inter Milan dhidi ya Tottenham, goli la Spurs limefungwa na Christian Eriksen huku magoli ya Inter yakifungwa na Mauro Icardi na Matias Vecino

0 comments:

Post a Comment