Ameahidi hayo leo wakati akishuhudia utiaji saini wa mkataba wa ujenzi wa Meli mpya na chelezo katika Ziwa Victoria, ujenzi utakaogharimu Tsh. Bilioni 88. 76
Wafanyakazi hao wanaodai malimbikizo ya mishahara ya takribani miezi 27 wamehimizwa kuendelea kufanya kazi kwa juhudi vinginevyo watazitapika fedha hizo
Aidha, Rais Magufuli amemsifia Kaimu Mkurugenzi wa Marine Services kwa kazi nzuri na kumshangaa Waziri wa Uchukuzi kutompa Ukurugenzi kamili
0 comments:
Post a Comment