Monday 17 September 2018

Meddy Kagere atwaa tuzo ya mchezaji bora wa mwezi.


Mshambuliaji wa @simbasctanzania Meddie Kagere ameshinda tuzo ya mchezaji bora wa mwezi Agosti wa #TanzaniaPremierLeague 2018/2019.
Kagere amewashinda Joseph Mahundi (Azam FC) na Ompar Mponda (Kagera Sugar) alioingia nao fainali.
.

0 comments:

Post a Comment