"Wakati unasema chanini, wenzako wanasema watapata lini"
Msemo huu umejidhihirisha leo kupitia ukurasa wa mchezaji wa kimataifa kutoka Tanzania anayekipiga KRC Genk nchini Ubelgiji , Mbwana Ali Samata ameandika kuwa ndoto yake kubwa kwa sasa ni kumiliki ndege binafsi (Private Jet)
.
.
"Ndoto za kumiliki private jet zimeanza baada ya kupiga picha hii 🤨 sio kila ndoto inaweza kutimia ila, acha vita ianze😡," ameandika @samagoal77
.
.
Mbwana Samata ni mmoja wa nyota wa mpira mwenye utajiri mkubwa na hiyo ni kutokana na juhudi zake katika mpira.
.
0 comments:
Post a Comment