Thursday 13 September 2018

Samata atamani kununua 'Private Jet'



"Wakati unasema chanini, wenzako wanasema watapata lini"
Msemo huu umejidhihirisha leo kupitia ukurasa wa mchezaji wa kimataifa kutoka Tanzania anayekipiga KRC Genk nchini Ubelgiji , Mbwana Ali Samata ameandika kuwa ndoto yake kubwa kwa sasa ni kumiliki ndege binafsi (Private Jet)
.
.
"Ndoto za kumiliki private jet zimeanza baada ya kupiga picha hii 🤨 sio kila ndoto inaweza kutimia ila, acha vita ianze😡," ameandika @samagoal77
.
.
Mbwana Samata ni mmoja wa nyota wa mpira mwenye utajiri mkubwa na hiyo ni kutokana na juhudi zake katika mpira.
.

0 comments:

Post a Comment