Klabu ya Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford katika mchezo wa mzunguko wa 5 wa Ligi Kuu soka nchini humo
Kwa matokeo hayo Manchester United inashika nafasi ya 8 ikiwa na alama 9 huku Watford ikishika nafasi ya 4 ikiwa na alama 12
-
Kuangalia msimamo mzima wa Ligi hiyo, angalia picha ya pili
0 comments:
Post a Comment