Sunday 16 September 2018

Msimamo ligi kuu England mechi za jana



Klabu ya Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa goli 2-1 dhidi ya Watford katika mchezo wa mzunguko wa 5 wa Ligi Kuu soka nchini humo

Kwa matokeo hayo Manchester United inashika nafasi ya 8 ikiwa na alama 9 huku Watford ikishika nafasi ya 4 ikiwa na alama 12
-
Kuangalia msimamo mzima wa Ligi hiyo, angalia picha ya pili

0 comments:

Post a Comment