Imefuzu kucheza Fainali hizo baada ya mpinzani wake Afrika Kusini kuwasilisha kwa CAF barua ya kujiondoa katika mashindano
Fainali hizo za Afrika zinatarajiwa kufanyika kuanzia Desemba 9 - Desemba 14, 2018 na kushirikisha nchi 8
Timu hiyo ilikuwa kambini kujiandaa na mchezo huo(dhidi ya Afrika Kusini) uliokuwa uchezwe Jumapili Septemba 9, 2018
0 comments:
Post a Comment