Thursday 6 September 2018

TIMU YA TAIFA YA SOKA YA UFUKWENI YA TANZANIA IMEFUZU KUCHEZA FAINALI ZA AFRIKA NCHINI MISRI



Imefuzu kucheza Fainali hizo baada ya mpinzani wake Afrika Kusini kuwasilisha kwa CAF barua ya kujiondoa katika mashindano

Fainali hizo za Afrika zinatarajiwa kufanyika kuanzia Desemba 9 - Desemba 14, 2018 na kushirikisha nchi 8

Timu hiyo ilikuwa kambini kujiandaa na mchezo huo(dhidi ya Afrika Kusini) uliokuwa uchezwe Jumapili Septemba 9, 2018

0 comments:

Post a Comment