Ameandika kwenye Instagram kuwa ana furaha kubwa kuolewa na msanii mwenye miondoko ya kuchana (Rap) na ambaye ni mwanaume wa ndoto yake.
Kabla ya hapo, Irene Uwoya alikuwa ameolewa na mchezaji anayeichezea timu ya Taifa ya Burundi (Ntamba murugamba ) Hamad Ndikumana na kujaaliwa kupata mtoto mmoja.
0 comments:
Post a Comment