Mchekeshaji mkongwe wa Tanzania , Joti hatimaye ameamua kuachana na ukapera na sasa rasmi kudai anaoa na kuamua kufanya kweli kwa kudhihirisha yupo serious kidogo kwa jambo la mahusiano kwa kutarajia kuvuta jiko hivi karibuni.
Joti ambaye anafahamika kwa kufanya matangazo mengi ikiwemo ya kufunga ndoa , aliambatana na watu wake wa karibu katika sendoff yake iliyofanyika siku ya jana( Alhamisi) akiwa na mchekeshaji Seki.
Joti ambaye anafahamika kwa kufanya matangazo mengi ikiwemo ya kufunga ndoa , aliambatana na watu wake wa karibu katika sendoff yake iliyofanyika siku ya jana( Alhamisi) akiwa na mchekeshaji Seki.
Mchekeshaji huyo mwenye dili kibao town anatarajia kufunga ndoa rasmi hivi karibuni na atakuwa ameingia kwenye orodha ya mastaa wa Bongo waliopo katika ndoa kama Babuu wa Kitaa, Mx Carter, Kenedy The Remedy, Professa Jay, ZamaradI Mketema na Frola Mbasha.
0 comments:
Post a Comment