Baada ya alyekuwa Mbunge wa Singida Kaskazini kwa tiketi ya Chama Cha
Mapinduzi (CCM) Lazaro Nyalandu kuchukua hatua ya kujiuzulu nafasi yake ndani ya CCM na
kujiuzulu nafasi yake ya Ubunge kupitia (CCM) kwa kile alichodai kutofurahishwa na hali ya kisiasa yanayoendelea nchini, Mh Zitto Kabwe
ametumia kurasa yake ya
Facebook kutoa maneno haya Kuhusumbunge huyo.
0 comments:
Post a Comment