Israel imekuwa ikidai jiji la Jerusalem kuwa ni mji wake mkuu lakini jumuia ya kimataifa haitambui jiji hilo kama mji mkuu wa nchi hiyo.
Uamuzi wa Rais Trump ni dhahiri utawakasirisha Wapalestina na mataifa ya Kiarabu na utakuwa na athari kubwa kimataifa.
Hatahivyo uamuzi huo umeonekana kupigwa vikali na mataaifa jirani ya Israel wakidai kuwa watakosa huduma alizokuwa wanazipata kutoka mji huo.
0 comments:
Post a Comment