Tuesday 30 January 2018

Hassani Joho atangaza kufika Uhuru Park kwenye kuapishwa Odinga

Gavana wa Mombasa Hassan Joho, ambaye naye ni mfuai wa chama cha  ODM cha Odinga, ni miongoni mwa viongozi ambao wamefunga safari kuelekea uwanja wa Uhuru Park.
Kupitia Twitter, amesema ameandamana na viongozi wengine wa kaunti hiyo ya pwani.

0 comments:

Post a Comment