Friday 12 January 2018

Rihanna, Bruno Mars katika tuzo za iHeart Radio Music Awards


iHeart Radio Music Awards imetangaza majina ya wanamuziki watakao wania tuzo huku wasanii wakubwa Rihanna na Bruno Mars wakiwa wametajwa katika vipengele vingi.
 Bruno mars atakuwa katika vipengele vifutavyo (R&B  Song of the year, R&B Artist of the year) na Rihanna (Female Artist of the Year na R&B Artist of the Year).
Wasanii wengine ambao watawania tuzo hizo ni Migo Ft Lil Uzi,Card B, Post amlone, Dj Khaled Bryson Tiller,Kendrik Lamar,Future, Drake, PlayboiCarti na Childish Gambino.

0 comments:

Post a Comment