Serikali kupitia wizara ya elimu leo imekataza shule binafsi kumrudisha darasa, kumfukuza au kumhamisha Mwanafunzi kwa kigezo cha kutofikia wastani wa ufaulu wa Shule husika.
Wizara ya Elimu itazichukulia hatua za kisheria ikiwemo kuzifungia kufanya usajili wa Wanafunzi au kuzifutia usajili Shule zitakazoendelea kufanya hivyo
Wizara ya Elimu itazichukulia hatua za kisheria ikiwemo kuzifungia kufanya usajili wa Wanafunzi au kuzifutia usajili Shule zitakazoendelea kufanya hivyo
0 comments:
Post a Comment