Umoja wa Mataifa wapongeza mchango wa China katika kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa
Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa
Bw. Antonio Guterres amepongeza mchango wa China katika juhudi za
kimataifa za kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa na kuitaka China
iendelee kutoa mchango kusaidia kuongeza hamasa ya dunia katika suala
hilo.
Bw. Guterres amesema ahadi zilizotolewa kwenye makubaliano ya Paris hazijatekelezwa kikamilifu, na ahadi hizo zenyewe hazitoshi kupunguza ongezeko la joto duniani katika karne hii kuwa nyuzi mbili kuliko kiwango cha kipindi kabla ya mapinduzi ya viwanda au hata chini ya nyuzi 1.5.
Bw. Guterres amesema ahadi zilizotolewa kwenye makubaliano ya Paris hazijatekelezwa kikamilifu, na ahadi hizo zenyewe hazitoshi kupunguza ongezeko la joto duniani katika karne hii kuwa nyuzi mbili kuliko kiwango cha kipindi kabla ya mapinduzi ya viwanda au hata chini ya nyuzi 1.5.
0 comments:
Post a Comment