Serikali nchini Sri Lanka imefanya mabadiliko ya Sheria ili kuwaruhusu Wanawake kunywa pombe na kufanya kazi sehemu zinakouzwa
Wanawake wenye zaidi ya miaka 18 wameruhusiwa kunywa vilevi kwa mara ya kwanza tangu kutangazwa kwa marufuku hiyo miaka 60 iliyopita
Wanawake mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii wameishukuru Serikali kwa hatua hiyo
Wanawake wenye zaidi ya miaka 18 wameruhusiwa kunywa vilevi kwa mara ya kwanza tangu kutangazwa kwa marufuku hiyo miaka 60 iliyopita
Wanawake mbalimbali kupitia mitandao ya kijamii wameishukuru Serikali kwa hatua hiyo
0 comments:
Post a Comment