Mahakama ya usuluhishi kwenye
masuala ya michezo CAS jana imeanza kusikiliza rufaa za wanamichezo wa
32 Urusi ambao hawajaruhiswa kushiriki michuano ya Olimpiki ya Korea
licha ya kuwa wamefutiwa vifungo vyao kutokana na kesi ya matumizi ya
dawa za kuongeza nguvu michezoni.
Baada ya kushindwa kufikia muafaka jana, CAS inaendelea na kesi hizo leo na huenda majibu yakatolewa kesho, katika siku ambayo mashindano ya Korea yanaanza.
Baada ya kushindwa kufikia muafaka jana, CAS inaendelea na kesi hizo leo na huenda majibu yakatolewa kesho, katika siku ambayo mashindano ya Korea yanaanza.
0 comments:
Post a Comment