Sunday 25 February 2018

Lingard awafuta machozi Man United baada ya kuichapa Chelsea



Licha ya Chelsea kuwa wa kwanza kuliona lango la United kupitia kwa Wilian kunako dakika 32 kabla ya Romelu Lukaku aliweza kusasawazisha ndani ya dakika ya 39 na hadi mapumziko timu zote zilikuwa 1-1.
Goli la ushindi la United limefungwa na kijana machachari, Jesse Lingard kunako dakika ya 75 hadi filimbi ya mwisho inalia, Man United 2 Chelsea 1.

0 comments:

Post a Comment