Klabu ya Tottenham Hotspurs
imefanikiwa kufuzu kwa raundi ya tano ya kombe la FA nchini Uingereza
kufuatia ushindi wa magoli 2-0 iliopata jana dhidi ya Newport County
katika mechi ya marudiano.
Magoli ya Tottenham yalifungwa na Eric Lamela na jingine likiwa ni la Newport kujifunga kupitia Dan Butler.
Baada ya kufanikiwa kusonga mbele, Spurs sasa itakutana na Rochdale inayoshiriki ligi daraja la kwanza jumamosi ijayo Februari 18.
Magoli ya Tottenham yalifungwa na Eric Lamela na jingine likiwa ni la Newport kujifunga kupitia Dan Butler.
Baada ya kufanikiwa kusonga mbele, Spurs sasa itakutana na Rochdale inayoshiriki ligi daraja la kwanza jumamosi ijayo Februari 18.
0 comments:
Post a Comment