Waziri
Mkuu Kassim Majaliwa( Aliye vaa miwani) jana (Jumanne, Februari 13,
2018) amekabidhi gari kwa Kamishna Generali wa Mamlaka ya Kudhibiti na
Kupambana na Dawa za Kulevya Bw. Rogers Siyanga kwa ajili ya Mamlaka
hiyo. Makabidhiao hayo yamefanyika katika viwanja vya Karimjee jijini
Dar es Salaam.
PICHA NA OFISI YA WAZIRI MKUU
0 comments:
Post a Comment