Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli pamoja na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wameshiriki misa takatifu ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph. Misa hiyo ambayo imeongozwa na Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
Wednesday 14 February 2018
Rais Magufuli na Mkewe washiriki misa ya Majivu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Magufuli pamoja na Mkewe, Mama Janeth Magufuli wameshiriki misa takatifu ya Majivu katika kanisa la Mtakatifu Joseph. Misa hiyo ambayo imeongozwa na Askofu Mkuu Polycarp Kardinali Pengo wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam.
0 comments:
Post a Comment