Muigizaji
maarufu wa filamu nchini Tanzania, Yvonne Cherry maarufu kama Monalisa
ameshinda tuzo ya African Prestigious Awards kipengele cha Msanii Bora
wa Kike barani Afrika
-
Tuzo hizo zimefanyika usiku wa kuamkia jumapili katika mji wa Accra huko nchini Ghana.
0 comments:
Post a Comment