Monday 16 April 2018

Taifa Stars yapanda nafasi tisa viwango FIFA



Tanzania imepaa kwa nafasi 9 (kutoka 146 hadi 137) katika viwango vya ubora wa Soka duniani vilivyotolewa na FIFA
-
Kwa mujibu wa ratiba za FIFA, Timu ya TaifaStars imekuwa ikicheza katika kiwango kizuri hivi karibuni

0 comments:

Post a Comment