Jcole aelezea namna albamu yake ya 'KOD' ilivyomfanya Msanii mwenzake Drake kuchukia na kumtumia text aliyoiandika "I hate you" baada ya kuishusha albamu yake ya "Gods Plan" kupitia mtandao wa Spotify.
Akizungumza na redio ya Hot Freestyle Mwanamuziki huyo alieleza namna alivykuwa amashtushwa na meseji ambayo alikuwa ametumiwa na Drake
Drake ambaye kwasasa anaugulia maumivu baada ya nyimbo yake kushushwa na Chaldish Gambino katika chati za Billboard
0 comments:
Post a Comment