Kocha wa timu ya Taifa ya Soka ya Uingereza, Gareth Southgate ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kitakachoshiriki michuano ya Kombe la Dunia inayotarajiwa kuanza Juni 14, 2018 nchini Urusi
Kikosi hicho ambacho wastani wake kwa wachezaji kuitwa kwenye timu ya Taifa ni 19 huku aliyeitwa mara nyingi ni Gary Cahill(58), kinawakosa wachezaji kama Golikipa Joe Hart na kiungo Jack Wilshere
Aidha, Wachezaji Adam Lallana, Jake Livermore, Tom Heaton, Lewis Cook na James Tarkowski wapo kwenye orodha ya wachezaji ambao wanaweza kuitwa muda wowote
0 comments:
Post a Comment