- Watu wanaochelewa kulala wana uwezekano mkubwa wa kufa mapema kuliko wale wanaowahi kulala
-
Msingi
wa utafiti huo ni kwamba watu wanaolala muda mzuri na kuamka mapema
wanaweza kuishi muda mrefu ukilinganisha na wale ambao wanachelewa
kulala ambao wakati mwingine wanaamka mapema wakiwa na uchovu mwingi
Matokeo
ya utafiti huo yamechambua sampuli ya watu laki 5 wenye umri wa miaka
30 hadi 73 ambao walifuatiliwa tabia za ulalaji wao kwa zaidi ya miaka 6
na nusu
Watafiti walibaini kuwa watu
ambao walikuwa wanachelewa kulala walikuwa na hatari kwa asilimia 10
kufa mapema katika kipindi cha utafiti kuliko wale ambao wanalala mapema
na kuamka mapema
0 comments:
Post a Comment