Jay-Z na Beyonce tayari wameingiza kiasi cha $52 Milioni (sawa na
zaidi ya Tsh. 118 Bilioni) kwenye ziara yao ya muziki 'On The Run II'
huku mpaka sasa wakiwa wamepiga show 9 tu.
TheCarters wamepanga kupiga shows 48 kwenye miji ya bara la Ulaya na Marekani Kaskazini.
0 comments:
Post a Comment