Friday 13 July 2018

Cuadrado atoa namba yake kwa Ronaldo


Kiungo Mcolombia, Juan Cuadrado amekubali kiroho safi kumuachia jezi yake namba 7 mchezaji mpya wa Juventus, Cristiano Ronaldo. Cuadrado ndiye alikuwa anaitumia jezi hiyo.

Lakini baada ya kusajiliwa kwa Ronaldo akitokea Real Madrid, amelazimika kumuachia kutokana na umaarufu wa mchezaki huyo.

0 comments:

Post a Comment