Friday 13 July 2018

Achapwa viboko 80 kwa kunywa pombe



Kijana mmoja achapwa viboko 80 kwa kosa la kunywa pombe alilotenda akiwa na miaka 14

Aidha kijana huyo alitenda kosa hilo miaka 10 iliyopita na mpaka sasa haieleweki ni kwanini adhabu yake ilichelewa kutekelezwa

Shirika la Kimataifa la Amnesty limelaani adhabu hiyo iliyotekelezwa kwenye Mji ulio Mashariki mwa Jimbo la Kashmir

Ikumbukwe kuwa mwaka 2014, watu 6 walihukumiwa kwenda jela na viboko 91 baada ya kukutwa wakiuchezea wimbo wa Pharrel Williams.

Aidha, mambo mengine yanayoweza kusababisha uchapwe viboko nchini Iran ni pamoja na uzinzi, kubusu hadharani, wizi, vitendo vinavyohusiana na mapenzi ya jinsia moja.

0 comments:

Post a Comment