Saturday 14 July 2018

Obama,Michelle ndani ya Serengeti



Rais mstaafu wa Marekani, Barack Obama, akiwa katika mbuga ya Serengeti alikokuja kwaajili ya utalii na familia yake

Inaelezwa kuwa hii ni mara ya pili kwa Obama kuja nchini, ambapo mara ya kwanza ilifanya hivyo mnamo Julai 2013 akiwa bado madarakani

Obama pamoja na familia yake waliripotiwa kuingia nchini kimya kimya siku chache zilizopita kwaajili ya mapumziko na utalii

0 comments:

Post a Comment