Monday 10 September 2018

Hassan Mwakinyo Bondia aliyeishangaza Dunia



Usiku wa kuamkia leo Tanzania kupitia bondia wake Hassan Mwakinyo amemtandika vibaya Muingereza Sam Eggington kwa Technical Knockout round ya pili kwenye mashindano ya uzito wa kati ya WBO.

Mwakinyo amemuangushia kipigo Eggington kabla refarii hajaingilia kati kumuokoa. Kipigo alichopewa kilimfanya ashindwe kusimama wakati refa akitangaza mshindi. Hata kocha wake alipomuuliza unaona, alijibu "sioni kitu". Yani alipigwa hadi akashindwa kuona sawasawa. .
.

0 comments:

Post a Comment