Mchoraji katuni kutoka nchini Australia
Mchoraji katuni kutoka nchini Australia Mark Knight,ameshutumiwa na kitendo cha ubaguzi kutoka katika katuni aliyoichapisha kupitia ukurasa wake wa Tweeter ikimuonesha mcheza Tenisi namba moja duniani Selena William akiwa analalamika katika katuni hiyo huku ikiwaonyesha refa wa Us Open 2018 akimwambia mshindi wa mashindano hayo upande wa wanawake "Can you just let her win"
0 comments:
Post a Comment