NewsChemba
  • Home
    • About Us
    • Contact Us
  • KITAIFA
  • KIMATAIFA
  • BURUDANI
  • MITINDO
  • TREND
  • MAKALA
  • MICHEZO
  • WASILIANA NASI

Tuesday, 5 December 2017

Home / International news / Kimataifa / Kenya kuzalisha kawi ya nyuklia kufikia 2027

Kenya kuzalisha kawi ya nyuklia kufikia 2027

15:11
newschemba
International news Kimataifa
Add Comment
Kenya imesema kwamba itaendelea na mpango wake wa kuhakikisha kwamba ina kiwanda cha kuzaliwa umeme kwa kutumia nguvu za nyuklia kufikia 2027.
Afisa Mkuu Mtendaji wa Bodi ya Umeme wa Nyuklia ya Kenya Collins Juma ameambia mkutano wa wadau kuhusu kawi jijini Nairobi kwamba ujezi wa kiwanda cha kuzalisha kawi hiyo unatarajiwa kuanza 2024.
Bodi hiyo imesema nishati hiyo itatumiwa kuongeza uzalishaji wa umeme nchini humo na si kuchukua nafasi ambayo imekuwa ikitekelezwa na vyanzo vingine vya kawi nchini humo.
Kufikia mwaka 2030, ambapo Kenya inatazamia kuwa taifa lenye viwanda la mapato ya wastani kufikia wakati huo, Kenya itakuwa ikihitaji megawati 17,000.
Kawi ya mvuke itachangia megawati 7,000. Kwa sasa, kawi hiyo kwa sasa hutumiwa kuzaliwa megawati 2,400 za umeme nchini humo.
#International news #Kimataifa

0 comments:

Post a Comment

← Prev Next → Home

Ad

Follow Us

Listen to Clouds FM

Most Popular

  • Mjue Alien maarufu Duniani wa kutengenezwa
    Mjue Alien maarufu Duniani wa kutengenezwa
    Huyu ni Alien maarufu mitandaoni kama ulikua humjui anaitwa Lil Mayo, @lilmayo ni mdoli uliotengenezwa kama Alien na zishatengenezwa m...
  • Jordan imekataa pendekezo la Marekani juu ya Jerusalem kuwa mjii mkuu Israel
    Jordan imekataa pendekezo la Marekani juu ya Jerusalem kuwa mjii mkuu Israel
    Ayman Safadi alisema alimuambia waziri wa mashauri wa nchi za kigeni wa Marekani Rex Tillerson kuwa hatua kama hiyo inaweza kuzua ghad...
  • ZIZZOU KATIKA IMANI YA NAHODHA EDWARD JOHN SMITH
    ZIZZOU KATIKA IMANI YA NAHODHA EDWARD JOHN SMITH
    Na Raphael Mwenda                                    Mnamo mwaka 1909 kampuni ya RMS Titanic ilitengeneza meli ya kihistori iliyochuku...
  • King Felipe:catalonia's have gone againsts constitution
    King Felipe:catalonia's have gone againsts constitution
    In a controversy of the Catalonian state that wants to separate from Spanish King Felipe VI has summoned the state leaders of the nati...
  • Manchester City yashinda nusu fainali ya kwanza
    Manchester City yashinda nusu fainali ya kwanza
    Klabu ya Manchester city imeshinda mechi yake ya kwanza ya nusu fainali ya kombe la ligi nchini Uingereza kwa magoli 2-1 ilipocheza dh...

Followers

Follow Us on Instagram @newschemba

Blog Archive

  • September (54)
  • August (60)
  • July (104)
  • June (116)
  • May (129)
  • April (134)
  • March (170)
  • February (197)
  • January (304)
  • December (294)
  • November (281)
  • October (162)
  • September (40)

Categories

Burudani ECONOMIC Entertainment Home News International news Kimataifa Kitaifa LIFE QOUTES Makala Michezo Mitindo Quote of the Day Sport News Technology News Trend

Translate

Find Us

Name

Email *

Message *

Designed and Developed By Desy Ernest & Owned by News Chemba Inc

Throne